KIJANA BARKA SEIF AMEREJEA NCHINI

KIJANA BARKA SEIF AMEREJEA NCHINI


 

KIJANA Barka Seif AMEREJEA NCHINI akitokea Uholanzi alikokuwa akifanya majaribio kwenye Academy ya soka ya Ajax Amsterdam FC.

Baada ya kurejea, Hemed Tawa [mjomba wa Barka Seif] ambaye aliambatananae safarini, amesema majaribio yamekwenda vizuri na tayari kuna matumaini siku moja kijana huyo atarudi Ulaya

Chapisha Maoni

0 Maoni